Nicene Creed in Swahili | Imani ya Nikeya – Kiswahili

Nicene Creed
Habari

Ishara ya Nikaea, iliyoandaliwa katika Baraza la Kwanza la Nikaea mwaka 325 BK na baadaye kupanuliwa katika Baraza la Konstantinopoli mwaka 381 BK, ni taarifa ya msingi ya imani ya Kikristo. Ilianzishwa ili kushughulikia mizozo ya kiutafiti, hasa Arianism, ambayo ilishuku umungu wa Kristo. Ishara hiyo inathibitisha Utatu—Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu—kama sawa na wa milele, ikisisitiza umungu na ubinadamu kamili wa Yesu Kristo. Inabaki kuwa tangazo kuu katika madhehebu mengi ya Kikristo, ingawa tofauti zipo: makanisa ya Mashariki Orthodox na ya Kikatoliki yana jumuishi ya “inatoka kwa Baba,” wakati toleo la Kikatoliki linaongeza “na Mwana” (Filioque), tofauti muhimu ya kiutafiti kutoka Ukristo wa Orthodox. Ishara hii ni muhimu kwa sababu inawafanya makanisa mengi ya Kikristo kuungana katika imani zao za msingi na kuweka mipaka kwa mafundisho ya Kikristo ya orthodox.

Imani ya Nikeya

Ninamwamini Mungu mumoja, Baba Mwenyezi,

Muumba wa mbingu na dunia,

na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana.

Ninamwamini Bwana mumoja, Yesu Kristo,

Mwana wa pekee wa Mungu,

amezaliwa na Baba mbele ya kuwa ulimwengu,

Mungu kutoka Mungu, Nuru kwa Nuru,

Mungu kweli kwa Mungu kweli,

amezaliwa, hakuumbwa,

Mwenye umungu mumoja na Baba.

Vitu vyote viliumbwa naye.

Alishuka toka mbinguni,

kwa ajili ya sisi watu,

na kwa ajili ya wokovu wetu;

alitwaa mwili kwa tendo la Roho Mutakatifu,

katika Bikira Maria,

akawa mutu.

Akasulibiwa kwa ajili yetu,

wakati wa Pontio Pilato,

akateswa, akazikwa,

Akafufuka kisha siku tatu,

kama ilivyoandikwa;

akapanda mbinguni,

anakaa kwa mukono wa kuume kwa Baba.

Ndipo atarudi kwa utukufu,

kuwahukumu wazima na wafu,

na ufalme wake hautakuwa na mwisho.

Ninamwamini Roho Mutakatifu,

Bwana na Mutoa uzima,

aliyetoka kwa Baba na Mwana,

anayeabudiwa na kutukuzwa,

pamoja na Baba na Mwana,

aliyesema kwa manabii.

Ninaamini Kanisa, moja, takatifu, katolika,

lililotoka kwa Mitume.

Ninasadikia ubatizo mumoja

kwa kuondolewa kwa zambi.

Ninangojea ufufuko wa wafu

na uzima wa milele utakaokuja. Amina.

Learn with English

Ninamwamini Mungu mumoja, Baba Mwenyezi,
I believe in one God, the Almighty Father,

Muumba wa mbingu na dunia,
Creator of heaven and earth,

na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana.
and of all things visible and invisible.

Ninamwamini Bwana mumoja, Yesu Kristo,
I believe in one Lord, Jesus Christ,

Mwana wa pekee wa Mungu,
the only-begotten Son of God,

amezaliwa na Baba mbele ya kuwa ulimwengu,
born of the Father before all worlds;

Mungu kutoka Mungu, Nuru kwa Nuru,
God from God, Light from Light,

Mungu kweli kwa Mungu kweli,
true God from true God,

amezaliwa, hakuumbwa,
begotten, not made,

Mwenye umungu mumoja na Baba.
of one substance with the Father.

Vitu vyote viliumbwa naye.
All things were made through Him.

Alishuka toka mbinguni,
He came down from heaven

kwa ajili ya sisi watu,
for us men

na kwa ajili ya wokovu wetu;
and for our salvation;

alitwaa mwili kwa tendo la Roho Mutakatifu,
He was incarnate by the Holy Spirit

katika Bikira Maria,
of the Virgin Mary,

akawa mutu.
and became man.

Akasulibiwa kwa ajili yetu,
He was crucified for us

wakati wa Pontio Pilato,
under Pontius Pilate;

akateswa, akazikwa,
He suffered and was buried;

Akafufuka kisha siku tatu,
and the third day He rose again

kama ilivyoandikwa;
according to the Scriptures;

akapanda mbinguni,
and ascended into heaven,

anakaa kwa mukono wa kuume kwa Baba.
and sits at the right hand of the Father.

Ndipo atarudi kwa utukufu,
He will come again with glory

kuwahukumu wazima na wafu,
to judge the living and the dead,

na ufalme wake hautakuwa na mwisho.
and His kingdom will have no end.

Ninamwamini Roho Mutakatifu,
I believe in the Holy Spirit,

Bwana na Mutoa uzima,
the Lord and Giver of life,

aliyetoka kwa Baba na Mwana,
who proceeds from the Father and the Son,

anayeabudiwa na kutukuzwa,
who with the Father and the Son

pamoja na Baba na Mwana,
is adored and glorified,

aliyesema kwa manabii.
who spoke by the prophets.

Ninaamini Kanisa, moja, takatifu, katolika,
I believe in one holy, catholic,

lililotoka kwa Mitume.
and apostolic Church.

Ninasadikia ubatizo mumoja
I acknowledge one baptism

kwa kuondolewa kwa zambi.
for the remission of sins.

Ninangojea ufufuko wa wafu
I look for the resurrection of the dead

na uzima wa milele utakaokuja.
and the life of the world to come.

Amina.
Amen.

We receive commissions for purchases made through links in this page.